Uhamisho

Dondoo, Taarifa, Uchambuzi na Matukio yanayohusu uhamisho wa wachezaji Ligi zote Ulimwenguni

Uhamisho

Ramadhani Kessy atua Mtibwa Sugar

Aliyewahi kuwa beki wa Nkana FC msimu uliopita Ramadhani Kessy amejiunga na klabu ya Mtibwa Sugar ya mjini Morogoro. Ramadhani Kessy ambaye amemaliza mkataba wake na klabu ya Nkana FC ametua kwenye klabu ya Mtibwa Sugar akiwa mchezaji huru. Ramadhani Kessy anaenda Mtibwa Sugar kuziba nafasi ya Kibwana Shomari ambaye...
Uhamisho

Kichuya kumkimbia Morrison Simba

Baada ya kukosa namba katika klabu ya Simba tangu arejee kutoka Misri alipobahatika kucheza soka la kulipwa , Shiza Ramadhani Kichuya anaonekana kutaka kurudi kwenye klabu yake ya zamani ya Mtibwa Sugar. Shiza Ramadhani Kichuya alisajiliwa na Simba akitokea kwenye klabu ya Mtibwa Sugar ya Morogoro. Mipango bado inaendelea ili...
Uhamisho

YANGA haimtaki tena SUREBOY

Baada ya jana mkuu wa kitengo cha habari cha Azam FC , Zaka za Zakazi kuwatuhumu Yanga kuandika barua wakijifanya ni Salum Abubakary "SureBoy" leo hii Afisa habari wa Yanga , Hassan Bumbuli amedai kuwa wao hawamtaki Salum Abubakary "SureBoy". Hassan Bumbuli amedai kuwa ni kweli walipeleka barua Azam FC...
Uhamisho

Yanga wameiba mchezaji wetu-MTIBWA

Suala kubwa kwa sasa kwenye anga la mpira wetu ni suala la Bernard Morrison na klabu yake ya Yanga. Yanga wanadai kuwa wana mkataba na Bernard Morrison mpaka 2022 na Bernard Morrison amedai hana mkataba na Yanga. Wakati hili na Bernard Morrison halijaisha limeibuka jingine ambalo ni la Kibwana Shomari...
Uhamisho

Bila milioni 20 siondoki Yanga-YIKPE

Yanga kwa sasa inahangaika na sakata la Bernard Morrison kwa kiasi kikubwa baada ya kusemekana amesajili katika klabu ya Simba wakati ana mkataba na Yanga. Wakati Yanga inahangaika na suala hili kuna habari kuwa mshambuliaji wa Yanga kutoka Ivory Coast, Gislain Yikpe amedai kuwa hawezi kuvunja mkataba na Yanga mpaka...
1 5 6 7 8 9 22
Page 7 of 22