Mpaka sasa KMC inashika nafasi ya 19 ikiwa imecheza michezo 24 ikiwa na alama 21. Mchezo unaofwata katika VPL ni KMC dhidi ya Simba katika uwanja wa Taifa.
Jana mtandao wa kandanda. co.tz ulifanikiwa kumpa zawadi ya kiatu Abdul Hillary ambaye ni mchezaji wa KMC baada ya kuibuka mfungaji bora wa mwezi wa kumi na mbili mwaka jana.
Wakati gani unahitaji kusheherekea? bila shaka ni wakati ambapo umefikia malengo ya kipindi husika. Hii ndio maana wachezaji hadi makocha hushangilia kwa ku'slide', ikionyesha jinsi raha ilivyo katika kupachika bao.
Kandanda haijakuacha nyuma pia, kama ilivyo utaratibu wetu tutaendelea kukuletea ratiba, matokeo bila kusahau wafungaji bora wa kila mwezi wa Ligi Kuu.