Saudi Arabia Kumwaga Mamilioni kwa Simba Sc.
Nchi hiyo ya Kiarabu inatazama bara la Afrika kama sehemu ambayo wanaweza kupata uungwaji mkubwa mkono katika harakati zao hizo
Nchi hiyo ya Kiarabu inatazama bara la Afrika kama sehemu ambayo wanaweza kupata uungwaji mkubwa mkono katika harakati zao hizo
Majeraha msimu huu yamemkatili General asiwe mfungaji bora wa CAF Champions League, asiwe mfungaji bora wa Tanzania, asiwe mchezaji bora wa Tanzania
Hii itakuwa fainali ya pili mfululizo kwa Wydad na ya tatu dhidi ya Al Ahly, msimu uliopita wawili hao walikutana na Wydad waliibuka washindi kwa na kutwaa kombe hilo.
Soka letu halina tena mchezaji wa kizawa anayeweza kuingia kikosi ya kwanza cha Simba na Yanga moja kwa moja kwa hawa wanaocheza NBC Premium League.
Ni kweli katika Ligi kuna viungo wengi wengine wazuri na bora kama kina Aziz Ki, Clatous Chama, James Akamiko, Feisal Salum na Sixtus Sabilo lakino wote hao hawamfikii Saidoo
Simba sasa wanakwenda msimu wapili mfululizo bila kutwaa kikombe chochote kikubwa na hivyo kuendelea kuipa nafasi Yanga kuendelea kutawala na kubeba vikombe katika Ligi na Kombe la FA.
Stephane Aziz Ki amefanikiwa kufunga mabao matatu katika mchezo dhidi ya Kagera Sugar
Na kipigo cha mwisho ni dhidi ya Azam Fc katika nusu fainali ambapo Simba walipoteza kwa mabao mawili kwa moja na hivyo kuondoshwa kwenye kombe hilo na kuifanya Simba kutoka tena patupu msimu huu bila kombe lolote.
Katika msimu huu pekee Azam na Simba wamekutana mara tatu, mara mbili katika Ligi ambapo Azam alishinda mchezo wa kwanza na sare katika mchezo wapili na huu wa FA ambao Simba imetolewa.
Katika misimu sita iliyopita ikiwa pamoja na mwaka huu, klabu ya Simba imejivunia zaidi ya alama 457.