Hawa hapa wababe wa FA, Championship wamekaza.
Baadhi ya michezo ya 16 ni pamoja na Simba dhidi ya African Sports, Yanga dhidi ya Tanzania Prisons na Azam Fc dhidi ya Mapinduzi Fc pia Kagera Sugar atavaana na Mbeya City.
Baadhi ya michezo ya 16 ni pamoja na Simba dhidi ya African Sports, Yanga dhidi ya Tanzania Prisons na Azam Fc dhidi ya Mapinduzi Fc pia Kagera Sugar atavaana na Mbeya City.
Vipers Fc, klabu kutoka Uganda masaa mawili yaliyopita imetangaza kuachana na kocha wao mkuu, Robertinho Oliveira Gonçalves do Carmo (1960).
Aidha KMC FC inatambua ushindani wa mchezo huo wa kesho kutokana na kila mmoja kuhitaji ushindi na kwamba kama timu imejipanga kuhakikisha kuwa inapata matokeo mazuri
Walipofuzu kuingia makundi ya mashindano hayo, walinuna. Wao ni wakubwa wakajiona wameshuka chini. Wakashiriki hatua ya makundi na kuingia robo fainali bila shangwe
Michezo hiyo mepangwa kupigwa kati ya December tisa na kumi na moja mwaka huu.
Rejea magoli ya Simba waliyoyafunga Angola dhidi ya Agosto, pia katika mchezo dhidi ya Yanga bao la Augustine Okra lilipatikana kwa kupigwa pasi tano tu.
Usipo kuwa na jicho la kiufundi huwezi kuona mchango wake wa moja kwa moja kwa kuwa play style yake haina ‘mbwembwe’ hajui na hajajaliwa nakshi nakshi nyingine.
Juma Mgunda kocha wa zamani wa Coastal Union yupo katika nafasi nzuri ya kuivusha Simba na kuipeleka katika hatua ya makundi ya Klabu bingwa Afrika baada ya kupata ushindi wa mabao matatu kwa moja ugenini.
Nchi inahitaji kuwa na falsafa yake kuhusu masuala husika, makala hii iliyoshiba inaelezea namna gani tunahitaji falsafa yetu kama nchi.
Fuatlia simulizi za Mkeyenge zinazohusu mzee maarufu shabiki wa Simba Sc.