Ripoti nchini Italia zimesema kwamba Juventus itakua tayari kumuacha Ronaldo ajiunge tena na Madrid ili kujaribu kupunguza mzigo wa kifedha kwenye klabu unaosababishwa na janga la virusi
“Katika mechi hiyo tuiliibuka na ushindi wa goli 3-0, nilifunga goli la kwanza, na rafiki yangu Albert alifunga la pili, na goli la tatu ndilo goli lililowashangaza wengi, na mimi nikiwa ni miongoni mwao..”
Mwaka 2018, Ronaldo ndiye aliyekuwa binadamu mwenye wafuasi wengi zaidi katika mtandao wa Instagram. Alikuwa na followers 144,482,390. Hivi mchezaji mwenye mashabiki wengi hivi unadhani ni ngumu kupata