Kupitia mtandao wa Kandanda.co.tz tunaamini ni nafasi nzuri ya kuelimisha na kuwahamasisha mashabiki wa kandanda na watalii kuhusu maandalizi ya AFCON 2027 ambayo ni fahari kubwa kwa Tanzania.
Siku moja nzuri mnamo Machi 1986, Richard Pollard alifika Fiji kufundisha katika Chuo Kikuu cha Pasifiki Kusini.
Yanga na Simba zinakutana katika mzunguko wa pili….Stori zaidi.
Mtandao wako wa kandanda.co.tz umekuwekea kanuni za Ligi….Stori zaidi.
Katika misimu sita iliyopita ikiwa pamoja na mwaka huu, klabu ya Simba imejivunia zaidi ya alama 457.
Vipers Fc, klabu kutoka Uganda masaa mawili yaliyopita imetangaza kuachana na kocha wao mkuu, Robertinho Oliveira Gonçalves do Carmo (1960).
Taarifa zilizopo sasa ni kuwa Feisal Salum “Fei Toto” anaelekea kujiunga klabu ya Azam Fc yenye makazi yake pale chamazi.
Walipofuzu kuingia makundi ya mashindano hayo, walinuna. Wao ni wakubwa wakajiona wameshuka chini. Wakashiriki hatua ya makundi na kuingia robo fainali bila shangwe
Simba inefanikiwa kusonga mbele baada ya kuitandika Nyasa Big Bullets kutoka Malawi.
Wakati wa mechi hii na baada ya mechi wapigie kura wachezaji wako watatu.