Shirikisho AfrikaMoto wawaponza Simba CAF.Mselemu Kandanda17/05/2022Simba iatapaswa kulipa pesa hizi ndani ya siku 60 tangu kutoka kwa hukumu hiyo, lakini pia wana siku tatu za kukataa rufaa.
Shirikisho AfrikaChama cha Soka Afrika Kusini waishtaki Simba CAF.Mselemu Kandanda28/04/2022Na ina uwezo wa kuharibu uwanja na tunaamini haikuwa kwa njia yoyote inayohusiana na michezo
Shirikisho AfrikaKiongozi Simba: Pablo haendi popote, tuna ofa kibao za wachezaji wetuMselemu Kandanda27/04/2022Hizi taarifa za kocha sijui mmezitoa wapi. Hakuna tasarifa yoyote ya klabu iliyosema kuhusu kumfukuza kocha
Shirikisho AfrikaMwenyekiti: Simba tunastahili pongezi, ule haukua moto.Mselemu Kandanda27/04/2022Kwenye ile video mimi binafsi sikuona moto labda tuu kuna picha zilizotengenezwa zinasambaa.
Shirikisho AfrikaHamkutaka tumkokee moto babu yetu Onyango!?©️Mdidi the Writer25/04/2022CAF wanatakiwa watoe adhabu kwenye haya Mambo kama inavyofanya TFF
Shirikisho AfrikaKiongozi: Simba hatujarudi nyuma.Mselemu Kandanda25/04/2022Msimu wa tatu tunaishia robo fainali inaumiza lakini kwa upande mwingine inatia matumaini na faraja kwamba tunamaintain ubora wetu
Shirikisho AfrikaMpira wa Afrika na mauzauza yake kwa Simba!©️Mdidi the Writer24/04/2022Hawa Wachambuzi wa Mpira wa Nchi hii kila mtu ana namna yake ya kujitafutia Ugali wake! Wengine wanatafuta kwa njia za kawaida wengine wanatafuta kwa njia ya kuchafua taswira ya wengine
Shirikisho AfrikaUkweli ni kwamba Simba uwezo wao ni robo fainali!Mwandishi Wetu24/04/2022Umemfikiria Luis Miquissone ??umemfikiria Clotaus Chama?? umemfikiria Okwi?? unawafikiria lakini?? nauliza umewafikiria hao watu,je? ni team gani Tanzania wachezaji hao watakaa benchi??
Shirikisho AfrikaSimba hii ni tofauti itafuzu nusu fainali!Tigana Lukinja22/04/2022Kwa mujibu wa tafiti hakuna mchezaji aliyekufa uwanjani kwa ajili ya kukaba hivyo Simba ndiyo ikawe silaha ya' kukaba hadi kivuli'.
Shirikisho AfrikaWaziri: Afrika Kusini ni salama kwa Simba!Mselemu Kandanda21/04/2022Waziri huyo ameyasema hayo baada ya mtendaji mkuu wa Klabu ya Simba Barbara Gonzalez kuomba ulinzi kwa serikali ya Tanzania