Lipuli FC
Lipuli FC moja ya timu kongwe nchini, maskani yake ni katika mji wa Iringa. Haijawahi kuchukua taji la Ligi Kuu Tanzania. Mafanikio makubwa katika msimu wa 2018/2019 ni kkufika hatua ya fainali ya kombe la shirikisho la soka la Tanzania, ikafungwa na Azam FC.
Yanga SC
Mabingwa mara 29 wa Ligi Kuu Tanzania Bara, klabu yenye makazi yake mitaa ya Jangwani, Dar Young Africans maarufu kama Yanga
Simba SC
Klabu ya Simba yenye makazi yake eneo la Msimbazi Kariakoo
Ibrahim Ajib
Amesaini mkataba wa miaka miwili kuanzia msimu wa 2919/20