Lipuli FC

Lipuli FC moja ya timu kongwe nchini, maskani yake ni katika mji wa Iringa. Haijawahi kuchukua taji la Ligi Kuu Tanzania. Mafanikio makubwa katika msimu wa 2018/2019 ni kkufika hatua ya fainali ya kombe la shirikisho la soka la Tanzania, ikafungwa na Azam FC.

  • kabumbukabumbu
  • December 27, 2017
  • 0 Comments
Yanga SC

Mabingwa mara 29 wa Ligi Kuu Tanzania Bara, klabu yenye makazi yake mitaa ya Jangwani, Dar Young Africans maarufu kama Yanga

  • kabumbukabumbu
  • December 27, 2017
  • 0 Comments
Simba SC

Klabu ya Simba yenye makazi yake eneo la Msimbazi Kariakoo

  • kabumbukabumbu
  • December 9, 1996
  • 0 Comments
Ibrahim Ajib

Amesaini mkataba wa miaka miwili kuanzia msimu wa 2919/20

Stori zaidi