TetesiGeita Gold yaanza usajili na kiungo wa Simba!Thomas Mselemu2 years agoGeita ambayo kwa mara ya kwanza imecheza Ligi Kuu msimu uliomalizima na kukata tiketi ya kwenda katika michuano ya Kimataifa imedhamiria kufanya vyema katika michuano hiyo kwa kusajili wachezaji wazoefu.