archiveSokoine

Mbeya City vs Singida United

Ni Mechi ya KUJINASUA... Timu zote zinapatikana katika ukanda wa hatari. Mbeya City tayari imeshacheza michezo 10 ikiwa na alama zake 8 katika nafasi ya 18 huku Singida United imeshacheza mechi 11 ikiwa na alama 4 pekee katika nafasi ya 20 yaani ya mwisho katika msimamo wa ligi.
1 8 9 10 11 12 17
Page 10 of 17