Simba SC vs Stand United

Huku ikiwakosa washambuliaji wake muhimu, Simba inaingia mchezoni kutaka kuendeleza ubabe dhidi ya Stand utd ili kuendelea kujiimarisha kileleni mwa ligi. Huku tumaini lao likiwa kwa Nicholas Gyan na Laudit mavugo kwenye ushambuliaji

Stori zaidi