BlogMh. Magufuli abadili jina la uwanja wa Taifa!Mselemu Kandanda28/07/2020Uwanja huo ulijengwa katika awamu ya pili ya uongozi marehemu Benjamin Mkapa na kuanza kutumika mwaka 2007. Mpaka sasa uwanja huo unashika nafasi ya 11 kwa ukubwa barani Afrika.