Miraj Athuman na rekodi ya kutisha!
Baada ya Simba kuifunga mabao manne kwa moja Yanga na kukata tiketi ya kwenda fainali ya kombe la FA imekua ni habati na historia kwa upande wa wachezaji Shevi na Haruna Shamte.
Shamte apewe muda, yule Msuva hatari! Unamuelewa Mao?
Hii hapa mpwa wangu nimekuletea zawadi hii kutoka Bujumbura kuhusu wachezaji walivyocheza, twende sasa..
Bao la Chirwa liwakumbushe Simba kuhusu usajili huu wa Shamte
OBREY Chirwa alitumia nguvu na akili mara moja tu kati ya dakika 90’ za mchezo wa fainali ya kombe la FA