Pia Shirikisho la soka Barani Afrika CAF limethibitisha michezo ya fainali kwa mashindano yote hiyo itafanyika katika mfumo wa nyumbani na ugenini kama ambavyo awali ilikua ikifanyika tofauti na mwaka jana pekee ambapo mchezo wa fainali ulikua mmoja tu.
Matajiri hao wa Misri wanatumia uwanja wa 30 June wanawajua vizuri Yanga kwani tayari walishakuka nchini kucheza na Wananchi na walifanikiwa kuwaondosha Yanga katika Playoffs ya Kombe la Shirikisho