Nyota wa Kagera Sugar Atimkia Ubelgiji
Mshammbuliaji huyo ambae ni mchezaji wa zamani wa Dodoma Jiji mpaka sasa ana mabao manne na pasi moja ya bao katika michezo ya Ligi Kuu ya NBC.
Dondoo, Taarifa, Uchambuzi na Matukio yanayohusu uhamisho wa wachezaji Ligi zote Ulimwenguni