Blog

Mkusanyiko wa Habari na Matukio tofauti ulimwenguni kote.

Blog

Timu ya Taifa yafuzu Afcon Misri!

  Timu ya Taifa ya Soka la Ufukweni ya Tanzania imefuzu kucheza Fainali za Africa zitakazofanyika nchini Misri. Timu ya Tanzania imefuzu kucheza Fainali hizo baada ya mpinzani wake Afrika Kusini kuwasilisha barua ya kujiondoa katika mashindano. Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) tayari wametujulisha taarifa hiyo ya kufuzu...
Blog

African Lyon kubadilisha Gia mechi ya Yanga.

Meneja wa klabu ya Soka ya African Lyon ya Jijini Dar Es Salaam Adam Kipatacho amesema mechi tatu za Mwanzo wa Ligi Walizocheza Kanda ya Ziwa zimewapa maono ya Namna Ligi Ilivyo Kwa Sasa. Kipatacho ameuambia mtandao wa kandanda.co.tz kuwa funzo ambalo wamelipata katika michezo hiyo litawasaidia kujua kitu gani...
Blog

Pilato wa mechi ya Uganda na Taifa Stars awekwa wazi.

Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) limewateua waamuzi kutoka nchini Gabon kuamua pambano la kundi L la kufuzu kwa michuano ya Mataifa Afrika mwakani kati ya Uganda 'The Cranes' na Tanzania 'Taifa Stars'. Mwamuzi wa kati katika pambano hilo atakuwa, Eric Arnaud Otogo Castane ambaye atasaidiwa na Mwamuzi Moussounda Montel...
Blog

Wanyama, Mariga waenguliwa, Stars wakijiandaa kuwavaa Ghana

Kocha wa timu ya Taifa ya Kenya ‘Harambee Stars’ Sebastien Migne amewaengua ndugu wawili Victor Wanyama na McDonald Mariga katika majina ya mwisho ya kikosi cha timu kuelekea katika mchezo wao wa kundi F kuwania kufuzu kwa michuano ya Afrika dhidi ya Ghana kwa sababu mbalimbali. Migne amemuondoa Wanyama kutokana...
Blog

Tanzania inaenda Uganda ikiwa na umbo la Argentina

Kuna vitu vingi sana vya kuvutia katika dunia ya leo, dunia tunayoishi ni moja ya kitu bora kuwahi kutokea ambacho kinavutia katika macho yetu. Dunia imebeba kila kitu ambacho kinastahili sifa ya mvuto, imebeba mbuga za wanyama wenye wanayama wengi wa kuvutia. Wanyama ambao wanategemea maji kutoka kutoka katika vyanzo...
Blog

Si sahihi Zahera na Morocco kuwa Viraka

Wakati mataifa mbalimbali ya Afrka yakiwa katika maandalizi ya kucheza michezo ya kuvufuzu kwa CA 2019-Cameroon, baadhi ya makocha wa klabu wamejumuika na timu hizo za Taifa. Mwinyi Zahera raia wa Congo DR ambaye ni kocha mkuu wa Yanga SC amerejea kwao kujumuika na timu yake ya Taifa, pia Hemed...
Blog

Taifa Stars kuifuata Uganda Alhamis

Kikosi cha timu ya Soka ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinaendelea kujichua jijini Dar es salaam kwa ajili ya mchezo wa kuwania kufuzu fainali za Afrika (AFCON 2019) dhidi ya Uganda utakaochezwa mwishoni mwa juma hili jijini Kampala. Stars imeweka kambi jijini Dar es Salaam chini ya kocha mpya...
Blog

Friends Rangers kuweka kambi mjini Lushoto

Kiongozi wa klabu ya Friends Rangers inayoshiriki ligi daraja la kwanza Tanzania Bara, Henry Mzozo amesema wanatarajia kuweka kambi wilayani Lushoto mkoani Tanga kabla ya mchezo wao wa kwanza ligi hiyo. Mzozo amesema kambi hiyo inatarajia kuanza Septemba 10 na wakiwa huko watacheza mechi kadhaa za kirafiki kabla ya kuanza...
Blog

Taifa Stars hii haijawahi kutokea!

Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania ''Taifa Stars'' tayari kipo kambini kujiandaa na mchezo wa kufuzu katika fainali za mataifa ya Africa (AFCON) zitakazofanyika nchini Cameroon mwaka 2019. Taifa stars inajiandaa na mchezo wake wa pili wa kufuzu dhidi ya Uganda utakaopigwa jijini Kampala katika dimba la Nambolee. Samata...
1 75 76 77 78 79 85
Page 77 of 85