Timu iliyobugizwa 20-0 yaondolewa kwenye ligi nchini Italia.
Unaikumbuka ile timu ambayo ilifungwa mabao 20-0 mwishoni mwa juma hili kule nchini Italia? Basi imeondolewa kwenye ligi. Timu hiyo kwa jina la Pro Piacenza imeondolewa kwenye ligi baada ya kubainika imechezesha wachezaji saba pekee kwenye mchezo huo ambao walifungwa na timu ya Cuneo katika ligi daraja la tatu nchini...