Young Africans SC vs Majimaji FC

Mabingwa watetezi, Yanga, wanarudi uwanjani tena katika majukumu ya ligi kuu Tanzania bara, baada ya ushindi wa bao 1-0 katika klabu bingwa afrika. Ushindi kwao katika mechi hii ni muhimu ili kupunguza tofauti ya pointi kati yake na mtani.

Stori zaidi