Wachezaji wote wako vizuri na wanajituma mazoezini na kwa pamoja tunajua bado hatujafuzu tunahitaji matokeo mazuri kesho ili tuweze kwenda hatua inayofuata,
Mipango yote ya ile ‘sex football’ wanayotandaza Wanankurukumbi wale inaanzia kwake akipata mpira anaficha kwanza kisha anawastua Seseme, Awesu na Ally Kagawa anawambia ‘wazee mali hii hapa"