archiveNational Stadium

Simba SC vs Tanzania Prisons

Simba anaingia uwanjani akiwa na uongozi wa ligi lakini pia akitaka kuongeza point Kati yake na Yanga. Prisons ya Mbeya wamepania Kumaliza Ligi Wakiwa nafasi tano za juu. Hali ya mvua huenda Ikawa faida kwao.
1 2
Page 2 of 2