Yanga ina uongozi DHAIFU na kocha IMARA.
Basi viongozi wanatakiwa wawape wananchi kitu ambacho kinaweza kuwa na kumbukumbu kwao, mtu akinunua kitu kinabaki kwake kuliko kumuomba mtu atoe hela bila kupata kitu chenye kumbukumbu.
Basi viongozi wanatakiwa wawape wananchi kitu ambacho kinaweza kuwa na kumbukumbu kwao, mtu akinunua kitu kinabaki kwake kuliko kumuomba mtu atoe hela bila kupata kitu chenye kumbukumbu.
Tumkumbuke kupitia hospitali ya kimataifa ya Dodoma, tumkumbuke kupitia barabara na pia tumkumbuke kuwa ndiye aliyejenga huu uwanja lakini tuvae miwani ya kibiashara.
Ilikuwa ngumu kwa Yanga kupita katikati ya uwanja kwa sababu eneo hili ni bora sana kwa Simba hivo isingewapa nafasi Yanga kufanya vyema kupitia katikati.
Mara nyingi Simba huwa wanamiliki mpira, huwezi kushindana nao kwenye hili. Kwa hiyo Yanga wanatakiwa kukaa nyuma na kuhakikisha wanafanya mashambulizi ya kushtukiza.
Hii ndiyo sherehe rasmi ya mpira wa miguu…..Stori zaidi.
Aliwahi kufundisha mpira katika nchi jirani ya Kenya alipokuwa na klabu ya Fc Leopards ya nchini Kenya.
Kukubali kusikilizwa kwa Abdalah Shaibu “Ninja” kutakuwa na maana ya kwamba adhabu yake imeondolewa mpaka pale kamati ya nidhamu ya TFF itakapomsikiliza.
Emmanuel Okwi yuko hivo kwa sasa, anajiona kama kiongozi mkuu ndani ya timu ya Simba. Jambo ambalo ni zuri sana.
Kuwepo kwa Andrew Vincent “Dante” kwenye mechi kama hii dhidi ya timu yenye safu imara ya ushambuliaji kama Simba ni hatari kubwa sana kwa Yanga, hivo wanatakiwa kabisa kutoruhusu uwazi kutengenezeka katika eneo lao.
John Bocco yeye husimama katikati ya mabeki wawili muda mwingi. Unaposimama katikati ya mabeki wawili, mabeki huwekeza muda mwingi kwako, hivo kuacha uwazi eneo jingine la nyuma.