Martin Kiyumbi

Mchambuzi
Mchambuzi wa mpira wa miguu, mwenye Shahada ya Ualimu. Martin amejiunga na timu ya kandanda toka mwaka 2017, moja kati ya wachambuzi wakongwe katika familia yetu.
EPLUhamisho

Ross Barkley anakuja kuisaidiaje Chelsea?

Chelsea katika dirisha hili dogo la usajili wamefanikiwa kumchukua kiungo Ross Barkley kutoka katika timu ya Everton. Wana idadi kubwa ya viungo wa kati kama Kante, Bakayoko, Fabregas, Danny Drink-Water. Viungo wote hawa kuna kitu Chelsea wanakosa katika eneo hili la kiungo ? Hebu tujaribu kuwatazama viungo waliopo kwa sasa....
La Liga

Hivi ndivyo Coutinho atacheza FC Barcelona

Jana Barcelona wamefanikiwa kukamilisha vipimo vya Phillipe Countinho. Hivo rasmi ni mchezaji wa Barcelona , anachosubiri ni kukabidhiwa namba ya jezi atakayoivaa. Yuko kwenye ardhi ambayo alitabiriwa na wengi kama gwiji wa zamani wa Barcelona, Ronaldinho Gaucho. Ronaldinho aliwahi kusema mtu pekee anayeweza kuziba pengo la Neymar ni Phillipe Countinho....
La LigaUhamisho

Yupi anafaa kukaa kwenye kiti cha Coutinho?

Jumatatu ndiyo siku ambayo inasubiriwa kukamilisha ndoto ya Phillipe Countinho. Ndoto ambayo aliipigania kuanzia dirisha la majira ya joto la usajili lililopita lakini Liverpool alipigana kumbakisha. Walifanikiwa kumbakisha, wakaamini wataendelea kufanya chochote wanachoweza kufanya ili abaki Liverpool. Lakini jitihada zao zilikuwa bure kwa sababu mwili wa Phillipe Countinho ulibaki Liverpool...
EPL

Uchambuzi wa mechi mbalimbali wa juma hili

ARSENAL vs LIVERPOOL. Arsenal katika mechi hii walitumia mfumo wa 4-3-2-1 wakati Liverpool walianza na mfumo wa 4-3-3, ila walikuwa wanabadirika kulingana na wakati, kuna kipindi walicheza 4-3-2-1 na kuna wakati wakacheza 5-3-2. Liverpool walianza vizuri katika kipindi cha kwanza kwa kumiliki mpira, na kukaba kwa nguvu hali ambayo iliwafanya...
CECAFA

Tukikosacho kipo Zanzibar

Mwisho wa kila safari huwa kuna funzo kubwa ndani yake, na binadamu siku zote huimarika na kuwa bora kupitia mafunzo tunayoyapata katika safari zetu kwenye maisha. Safari ya michuano ya kombe la nchi wanachama wa Afrika Mashariki (CECAFA) iliisha jana kwa kushuhudia Kenya ikichukua kombe lile. Kenya kuchukua kombe lile...
EPL

Ubingwa tumuachie Manchester City

Jana kulikuwa na mechi ya Manchester Derby, mechi ambayo ilikuwa inawakutanisha mahasimu wawili ambao msimu huu wanaonekana kama timu ambazo zinauwezo wa kuwa bingwa. Manchester City walifanikiwa kuvunja rekodi ya Manchester United ya kucheza michezo 41 bila kufungwa katika uwanja wao wa nyumbani, na kufanya washinde mechi 8 zote walizocheza...
EPL

Nani atamvunjia rekodi mwenzake?

Leo kuna mechi ambayo inashika hisia za watu wengi wapenda mpira duniani. Mechi hii inakutanisha timu ambazo zinaonekana bora kwa sasa katika ligi kuu ya England, na ndizo timu ambazo zinaongoza mbio za ubingwa wa ligi kuu ya England. Manchester City akiwa anaongoza kwa tofauti ya alama nane dhidi ya...
CECAFA

Zanzibar anzeni hapa ndipo nitawasifia na mimi

Michuano ya CECAFA inaendelea kwa kuzikutanisha timu za taifa za wakubwa za nchi wanachama na nchi waalikwa kutoka kanda tofauti na ukanda ukanda huu wa CECAFA. Michuano ambayo inahistoria kubwa sana katika ukanda wetu huu wa Afrika Mashariki na Kati na Afrika kwa ujumla. Ndiyo mashindano yenye umri mrefu, kitu...
Ligi

Prisons waliingia wakiwa wanahitaji alama mechi ya jana.

Njia ipi waliitumia Prisons kushambulia? Walipokuwa katika robo yao ya uwanja walokuwa wanamiliki mpira kwa kupiga pasi huku wakispgea mbele. Walipokuwa wanafika karibu na nusu ya uwanja walikuwa wanapiga mipira mirefu ya moja kwa moja kwa washambuliaji wao. Walijua washambuliaji wao walikuwa na kasi kubwa sana ukilinganisha na mabeki wa...
1 76 77 78 79
Page 78 of 79