Nini tatizo la Chelsea Msimu huu?
Msimu jana ulikuwa msimu wa kwanza kwa kocha Antonio Conte akiwa Chelsea. Pamoja na kwamba ulikuwa msimu wake wa kwanza akiwa kama kocha wa Chelsea, na msimu wa kwanza kwake akiwa kwenye nchi ya England lakini alifanikiwa kuchukua ubingwa wa ligi kuu ya England. Antonio Conte aliikuta Chelsea ikiwa imefanya...