Katika Chuji mmoja ulikua unaweza kupata viungo watatu kwa maana ya kiungo wa ulinzi, kiungo mchezeshaji na kiungo mshambuliaji, jamaa soka alilijua na lenyewe likamjua.
Mtoto mmoja wa kishua, kwao maisha si haba kwani Baba yake alitengeneza fedha toka kitambo kupitia soka huku mama yake alivuna matunda kadhaa kwenye mpira wa wavu
Tuna wachezaji wengi hata sisi pia, huyu (Bumbuli) amesema maneno mengi, hata sisi tuna wacheza kutoka Ivory Coast, Cameroon na wengine wanatoka hapahapa Tanzania pia.
Licha ya uwepo wa wasanii wakubwa nchini kama Harmonise, G nako, Juma Nature na Msaga Sumu lakini burudani itabaki palepale katika mpira wa miguu ambao mashabiki wa Yanga.
IJUMAA Tar 28 August 2020 tumeingia rasmi makubaliano ya mkataba wa udhamini wa Klabu ya Jiji la Mbeya ‘Mbeya City’, ambayo inashiriki michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara katika msimu huu wa 2020/2021.
Mtandao wetu unatumia takwimu husika zinazokusanywa katika mtandao wetu, takwimu hizo zinatumika katika kusheherekea na wachezaji wanaofanya vizuri uwanjani.
Tafadhali tumia viungo rasmi kusambaza habari zetu. Facebook, Twitter au Barua Pepe. Kama utataka kutumia habari zetu tuandikie kupitia habari@kandanda.co.tz