Kuelekea mchezo wa Ligi Kuu ya NBC kati ya Yanga na Kagera Sugar kocha na kiungo wa timy hiyo wametema cheche walipokua wakiongelea mchezo huo mbele ya Waandishi wa habari Denis Nkane aliyeongea kwa niaba ya wachezaji wenzake amesema malengo yao yapo palepale yakutwaa ubingwa na wapo tayari kufanya vyema...
Achana na "Derby" ya kwenye kandanda kati ya Simba na Yanga ambayo ndio maarufu hapa Tanzania na Afrika pia kutokana na upinzani mkubwa wa wawili hao kuna hii "Derby ya kwenye masumbwi "mchezo wa ngumi" kati ya Mabibo na Manzese. Kuna lile pambano lilifanyika pale Jijini Arusha katika usiku wa...