Mapinduzi alijibadili mara tatu kimajukumu, kwanza alikuwa beki wa kulia, Yanga inaposhambuliwa, na haya ndiyo yaliyokuwa majukumu yake ya msingi, Jukumu la pili ni kucheza kama
Mpwa ngoja nikushike sikio kabla hujaanza kusoma, ukiwa mchezoni jua hadi kipa ana nafasi ya kufunga? Chukua hiyo kwanza, sasa makumi 9 yangeleta bao 3?
Mchezo wa awali wa fainali dhidi ya Waydad Casablanca ulimalizika kwa mabao 1-1 na mchezo wa pili ulivunjika baada ya utataa wa VAR (Video ya Usadizi kwa Mwaamuzi).
Tafadhali tumia viungo rasmi kusambaza habari zetu. Facebook, Twitter au Barua Pepe. Kama utataka kutumia habari zetu tuandikie kupitia habari@kandanda.co.tz