Video

Video

Napata burudani kumwangalia Marcel Bonaventure lakini sijui mwakani itakuaje!

Marcel Boniventure Kaheza "Rivaldo"  jezi namba 10 ya Majimaji huku pia akicheza nafasi hiyohiyo kama ya jezi yake namba 10 uwanjani. Kwa sasa ndie mchezaji tegemeo pale kwa wakazi wa Songea katika timu ya Majimaji. Huku wakiwa wanapambana timu isishuke daraja kwa kiasi kikubwa Marcel ndie anaeongoza kwenye uwanja wa...