Shirikisho AfrikaUkweli ni kwamba Simba uwezo wao ni robo fainali!Mwandishi Wetu4 months agoUmemfikiria Luis Miquissone ??umemfikiria Clotaus Chama?? umemfikiria Okwi?? unawafikiria lakini?? nauliza umewafikiria hao watu,je? ni team gani Tanzania wachezaji hao watakaa benchi??
Shirikisho AfrikaNjoo utimize ndoto yako kwa Mkapa!Thomas Mselemu4 months agoTwenzetu kwa Mkapa tukaendee kuziishi ndoto zetu ambazo Simba wanazifanya kuwa kweli, twende kwa Mkapa tukaone tamu na chungu.
Shirikisho AfrikaCAFCC: Mtibwa Sugar waendelea na mawindo dhidi ya KCCA.Issack John4 years agoKocha wa makipa wa timu ya soka ya Mtibwa Sugar Patrick Mwangata ameeleza kwamba wanaendelea na mazoezi kujiandaa na mchezo...