Ligi KuuKaze au Mayele alaumiwe kwa sare hizi mfululizo?Tigana Lukinja3 months agoUnadhani kuna mpango wa pamoja toka kwa benchi la ufundi na wachezaji labda wakiwemo na viongozi wa kumwandaa na kumtengenezea Mayele.
Ligi KuuKocha Yanga: Tulifanya makosa, Simba ni hatari!Thomas Mselemu3 months agoSimba ni wazuri kwenye winga zao wana wachezaji wazuri ambao wakiwa mmoja dhidi ya mmoja na ndio maanaa hatukuwaacha kina Sakho na Morrison wakutane na hiyo situation.
Ligi KuuYametimia leo ndio leo!Thomas Mselemu3 months agoHii ni mechi special na ndio maana kila kitu ni special kuelekea mchezo huu.
Ligi KuuKaze: Kesho ni mechi “special”.Thomas Mselemu3 months agoKesho tunaenda kutafuta point 3 hatuendi kutafuta "unbeaten". Tunakwenda kulinda malengo yetu tuliyojiwekea tangu mwanzo wa msimu."
TetesiHuyu ndiye mrithi wa Luc EymalMartin Kiyumbi2 years agoWengi tunafahamu kuwa Luc Eymael siyo kocha tena wa Yanga baada ya Yanga kumfukuza kutokana na kutoa maneno ambayo yalikuwa...