Sadala Lipangile: KMC haishuki daraja.
Mpaka sasa KMC inashika nafasi ya 19 ikiwa imecheza michezo 24 ikiwa na alama 21. Mchezo unaofwata katika VPL ni KMC dhidi ya Simba katika uwanja wa Taifa.
Lipangile: Ndoto ya kila mchezaji kushiriki CHAN!
Lipangile " napendelea kucheza kama mshambuliaji, ndio "naenjoy"zaidi kandanda niwapo uwanjani."
Sadala mlinzi mwenye rekodi nzito ya mabao!
Je Sadala Lipangile tumaini jipya kwa mwalimu Ettiene Ndayiragije katika kusuka kikosi kwaajili ya michuano ya CHAN?