Timu yetu haina njaa, ni zaidi ya Rollers na Zesco-Masau Bwire
Yanga imeanza ligi kwa kupata kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa wazee wa kupapasa, hizi tambo zao sasa.
Yanga imeanza ligi kwa kupata kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa wazee wa kupapasa, hizi tambo zao sasa.
Tetesi hizi zimekuwa kubwa baada ya leo KRG Genk kumsajili mshambuliaji mpya raia wa Nigeria ambaye inasemekana ndiyo atakayeziba pengo lake.
Manara anaweza kuwa moja ya watu mwenye furaha zaidi siku ya leo baada ya matokeo ya Yanga.
Tunauhitaji sana mguu wa Shiza Ramadhani Kichuya, tunao uwezo wa kuukoa, tufanye haraka sana.
Hakuna ambaye alikuwa na uhakika wa kwenda kupata hata sare kwenye uwanja wa Taifa mbele ya Simba.
Kuna penzi tamu kama penzi la Emmanuel Okwi na timu ya Simba ?. Hapana shaka ni mara chache sana kuona wapenzi wa aina hii katika dunia ya leo.
Unajua maana ya tai ya kijivu? wapi unatakiwa uivae pia? Kuwa makini na maana ya rangi hii.
Hakuna mawasiliano ! , Hii ndiyo kauli pekee ambayo unaweza ukaisema kuhusu Mwinyi Zahera na uongozi wa Yanga
Yanga walikuwa katika miji ya Arusha na Moshi kwa ajili ya kujiandaa na mechi ya awali ya marudio dhidi ya Township Rollers ambapo ilicheza mechi mbili.
Kandanda haijakuacha nyuma pia, kama ilivyo utaratibu wetu tutaendelea kukuletea ratiba, matokeo bila kusahau wafungaji bora wa kila mwezi wa Ligi Kuu.