Bocco ni mchezaji wa Simba na siyo Polikwane FC.
Ni jana tu Simba ilitoa picha wakimsaini John Bocco, na leo wataendelea kutoa zaidi. Je Bocco anaweza kwenda kucheza nje?
Ni jana tu Simba ilitoa picha wakimsaini John Bocco, na leo wataendelea kutoa zaidi. Je Bocco anaweza kwenda kucheza nje?
Akizungumza na mtandao huu mtendaji mkuu wa klabu ya Simba, Bwana Magori amedai kuwa leo kutakuwepo na tangazo jipya la mchezaji.
Mrisho Ngassa anauzoefu mkubwa kwenye michuano hii ya kimataifa ndiyo maana KMC FC ipo kwenye vita vikali
Simba na Yanga wamejitoa katika mashindano ya Kagame Cup kwa sababu mbalimbali na kuifanya Tanzania iwe na mwakilishi mmoja tu ambaye ni Azam FC.
Yanga imetoa sababu nyingi za wao kujitoa katika mashindano hayo ambayo yanatarijiwa kuanza mwezi wa 7 mwaka huu, sababu ambazo zimeifanya Yanga kujitoa ni zifuatazo.
Tumekuwa tukitamani sana kuwaona Ibrahim Ajib na Jonas Mkude wakifanikiwa kwenye mpira wa miguu lakini wao hawaoni kama wanatakiwa kufanikiwa.
Nidhamu nje ya uwanja imekuwa silaha kubwa kwake yeye kufanya vizuri ndani ya uwanja. Nini wachezaji wetu wanahitaji kujifunza kutoka kwa Kagere?
“Uwezo wa wachezaji walioachwa hakunishawishi mimi kama kocha, mimi siangalii mchezaji huyu ni nani awe kaka yangu au dada yangu,
Leo baada ya mazoezi kocha mkuu Emmanuel Amunike atatangaza rasmi habari hizi, tutawaleteaa zaidi.
Mavugo alishindwa Simba kwa sababu mashabiki walimpa presha kubwa. Presha ambayo alishindwa kuimudu.