Kelvin John kucheza Ulaya
Kwa maendeleo ya kipaji chake na soka letu kwa sasa tunasubiri kujua Kelvin John ataelekea wapi, wakati mameneja wake wakiendelea lushughulikia swala lake kupitia Samuel Eto’o.
Kwa maendeleo ya kipaji chake na soka letu kwa sasa tunasubiri kujua Kelvin John ataelekea wapi, wakati mameneja wake wakiendelea lushughulikia swala lake kupitia Samuel Eto’o.
Eto’o alimuahidi Kelvin John kuhusu timu ya kwenda kucheza Ufaransa iwapo tu…
“Aaaah vingi , kwa mfano kama uliangalia mechi yetu dhidi ya Nigeria wakati tunaongoza…
Fuatilia sehemu ya kwanza ya mahojiano na Kelvin John, mchezaji wa timu ya taifa ya Tanzania kwa vijana wenye umri wa chini ya miaka 17 (Serengeti Boys).
Kandanda ilifanya mahojiano mafupi na Himid Mao anayeichezea klabu ya Petrojet ya nchini Misri. Unaweza fuatilia kwa undani.
Simba walifanikiwa kufunga bao la ushindi katika dakika ya 97 kupitia kwa Hassan Dilunga.
Muda mwingi walikuwa wanajiangusha sana kwa minajili ya kupoteza.muda kwenye mechi ya leo”
Simba imemaliza mechi zake katika kanda ya ziwa, hivo wanasafiri na kurudi Dar es Salaam kwa ajili ya kuendelea na kampeni yake ya ligi kuu Tanzania bara.
Simba ni timu bora wametoka kushiriki mashindano ya kimataifa na wamefanikiwa kwa asilimia 60. 70. Kwa hiyo wao ni bora”.
“Sisi ni bora baada ya Simba na Yanga kwa hiyo mashabiki waje kushuhudia mechi nzuri”