Chama, Okwi na Manula kuikosa Mbao.
Simba wapo mji kasoro bahari leo, wakitafuta ushindi muhimu wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania. Kuendelea kuonyesha makali yao?
Simba wapo mji kasoro bahari leo, wakitafuta ushindi muhimu wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania. Kuendelea kuonyesha makali yao?
Wapenda soka wa Tanzania wataikosa timu bora katika michuano hii ya kombe la shirikisho. Tupe maoni yako…
Tumefikiria kujenga Taifa Stars imara ya kutuwezesha kufuzu tena ?.
Pamoja na kwamba ameelekea Morogoro, lakini hatokuwepo kwenye sehemu ya mchezo huo
“Naomba niwape UPDATES za BUNJU baada ya Wiki 2 Uwanja wa Mazoezi utakuwa Tayari baada ya TAKUKURU kuziachia NYASI hizo baada ya Kukamilika kwa Uchunguzi wa Kesi ya Msingi”-CEO Crescentius Magori
Nini kimewafanya viongozi hawa wote wajiuzulu?
Kipi hicho kinachofanywa na John Bocco? Mchezaji ambaye ameaminiwa na ni mtulivu katika majukumu yake…
Pitia kutazama Ubora na Udhaifu wa Kikosi cha Taifa Stars katika mechi ya jana.
Ndiyo maana mwisho wa siku wachezaji wetu walipata nguvu ya kupigana kwa sababu ya mashabiki ambao walikuwa jukwaani, na Uganda walikuwa wameingiwa na hofu.
Wachezaji wa zamani wa Taifa Stars waliwauliza pia wachezaji wanaoenda kupambana na Uganda kesho swali hili