Kwaheri fundi Ronaldinho Gaucho
Tarehe 21, Machi 1980 kunako mji wa Port Alegre nchini Brazil mtoto Ronaldo de Assis Moreirra alizaliwa, mzee Joao Moreirra na mkewe Bi Miguerina De Assis walifanikiwa kumzaa mtoto ambaye baada ya miaka kadhaa kupita alifanikiwa kuwa mwandinga maarufu Jina lake halisi anaitwa Ronaldo lakini wabrazil ili kumtofautisha na Ronaldo...