Matokeo ya Ligi Kuu bara,Stand na Africa Lyon zashuka
Siku ya Jumanne ligi Kuu ya Tanzania bara….Stori zaidi.
Siku ya Jumanne ligi Kuu ya Tanzania bara….Stori zaidi.
Mpaka sasa hivi African Lyon ndiyo timu pekee ambayo hatutokuwa nayo kwenye ligi kuu msimu ujao.
Kati ya timu sita zilizopanda mwaka jana ni timu za KMC, Coastal Union, Allince School ndio zipo salama huku Biashara, JKT Tanzania zikipambana kusalia Ligi Kuu Bara, African Lyon wao wameshashuka daraja tayari.
Pamoja na mapungufu ambayo mashabiki na wadau wa kandanda nchini wamekuwa wakizungumza, Ligi Kuu imefanikiwa sana. Nafasi yako kuipigia kura kujua maoni ya wadau na mashabiki wa kandanda.
Lakini pia vilabu havina budi kutafuta wadhamini wao wa ndani pia ili kupunguza makali ya uendeshaji wa vilabu.
Wadau wengi wamekuwa wakiulizia kujua mshindi wa Ligi Kuu atapata nini, kwakuwa Ligi haina mdhamini mkuu.
Mimi siwezi kuwapa hongera kwa sababu hawakustahili ubingwa, kwenye watu saba wawili tu ndiyo watakubali ubingwa wa Simba”.
John Bocco baada ya kufunga bao katika mchezo wa leo kusogea na kuongeza thamani yake katika Ligi Kuu Bara.
Tazama msimamo hapa baada ya ushindi wa mabao mawili kwa sifuri huku magoli ya Simba yakifungwa na Meddie Kagere dakika ya 10 na John Bocco dakika ya 60.
Kiufundi, mechi hii itakuwa ngumu sana kwa Simba na kuna asilimia kubwa leo Simba wasitangaze ubingwa kwenye ardhi ya Singida.