EPL

EPL

Kifo Cha Man U Wembley Kilianzia Hapa.

Kipi kilichosababisha Manchester United washindwe? Usiku wa kuamkia leo Manchester United walienda katika uwanja wa Wembley kama wageni wa Tottenham Hotspurs. Uwanja ambao walikuwa hawajawahi kufungwa tangu mwaka 2011 ambapo walifungwa na Barcelona 3-1 katika fainali ya ligi ya mabingwa. Baada ya hapa walishinda mechi 6 huku kila mechi wakifunga...
EPL

Jezi namba 7 itakuwa nzito au nyepesi kwa Sanchez?

Jana zilipatikana dakika 72 za kwanza za Alexis Sanchez. Dakika 72 ambazo zilimwezesha awe mchezaji bora wa mechi ya jana ya FA CUP dhidi ya Yeovil Town. Hii inatoa tafasri moja, ulikuwa mwanzo mzuri wa Sanchez ikizingatia kila jicho lilikuwa linamtazama yeye kila aliposhika mpira. Lakini hofu aliishusha chini, akawa...
EPL

Alaumiwe Sanchez au Arsenal?

Hatimaye Alexis Sanchez siyo mchezaji tena wa Arsenal, ni habari isiyofurahisha kwa mashabiki wa Arsenal lakini ndiyo ukweli wenyewe. Haijalishi unaumiza kiasi gani lakini unatakiwa kukubaliana nao. Kuondokewa na mchezaji muhimu katika kikosi chako. Mchezaji ambaye alikuja kuimarika zaidi katika kikosi chako lakini akakuacha na maumivu. Siyo mara ya kwanza...
EPL

Nini tatizo la Chelsea Msimu huu?

Msimu jana ulikuwa msimu wa kwanza kwa kocha Antonio Conte akiwa Chelsea. Pamoja na kwamba ulikuwa msimu wake wa kwanza akiwa kama kocha wa Chelsea, na msimu wa kwanza kwake akiwa kwenye nchi ya England lakini alifanikiwa kuchukua ubingwa wa ligi kuu ya England. Antonio Conte aliikuta Chelsea ikiwa imefanya...
EPL

10 usiyoyajua kuhusu N’golo Kante

1. Jamaa aliikataa timu ya taifa ya Mali na kuamua kuichezea Ufaransa, huku viongozi wa shirikisho la soka nchini Mali wakijaribu mara mbili kumshawishi Kante kuchezea timu yao lakini aligoma, ingawa alizaliwa Ufaransa wazazi wake ni Raia wa Mali 2. Kwa sasa Kante ni mmoja ya wachezaji wanailipwa vizuri, akiwa...
EPL

United yaibanjua Stoke City

Manchester United imepata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Stoke City, katika mchezo wa ligi kuu ya soka Uingereza maarufu kama EPL Katika mchezo huo uliofanyika usiku wa kuamkia leo kunako dimba Old Trafford, Manchester United walipata bao la uongozi mapema dakika ya 9 kupitia kwa Antonio Valencia akimalizia kazi...
EPL

Maeneo yaliyomuwezesha Klop kumshinda Pep

Jana Jurgen Klopp alifanikiwa kuvunja utawala wa Manchester City wa kwenda mechi mechi 22 bila kufungwa. Anazidi kujiwekea rekodi nzuri dhidi ya Pep Guardiola, mpaka sasa katika michezo 12 waliyokutana Jurgen Klopp kafanikiwa kushinda michezo 6 na kutoka sare mchezo mmoja huku Pep Guardiola akishinda mechi 5. Jana Manchester City...
EPL

Tathmini ya mchezo uliopoteza rekodi ya Man City

Hakika ilikuwa ni vita kati ya 'Gegenpressing' ya Jugen Klop dhidi ya 'Tik tak' ya Pep Guardiola, pamoja na kuonekana kama ni aina ya uchezaji unaofanana lakini kuna utofauti mkubwa wa 'patterns' za uchezaji ndani ya kiwanja huku zote umiliki wa mpira ukiwa ndio msingi mkuu Klop anayetamba na Gegenpressing...
EPL

Liverpool ina nafasi kubwa kuifunga Man City

Leo kuna mechi ambayo inawakutanisha Liverpool na Manchester City katika uwanja wa Anfield. Mechi ya mzunguko wa kwanza Manchester City alifanikiwa kuifunga Liverpool goli 5-0. Leo hii wanakutana wakati ambao Liverpool anatafuta nafasi ya kubaki kwenye nafasi nne za juu na Manchester City akitafuta nafasi ya kujichimbia juu. Manchester City...
EPL

” Nililia kuondoka Arsenal ” – Alexander Hleb

Alexander Hleb huenda likawa sio jina pekee kuingia kichwani pindi unapokumbuka timu ya mwaka 2006 ya Arsenal ambayo ilikaribia kutwaa taji la kwanza la UEFA katika Historia ya klabu. Lakini ilikuwa ndani ya Arsenal ambapo nyota huyo wa kimataifa wa Belarus alicheza kandanda safi katika maisha yake ya soka na...
1 12 13 14 15
Page 14 of 15