Simba yajitoa Kombe la Kagame
Ikumbukwe pia klabu ya Yanga ilipata mwaliko katika michuano hii na kuupokea kwa furaha zaidi.
Baada ya CAF kuwarudisha, Yanga yaalikwa Kagame
Michuano hiyo itafanyika katika nchi ya Rwanda ambapo Yanga atakuwa kama timu mwalikwa kwenye michuano hiyo.