Simba Sc kupewa fedha taslimu pia ya ubingwa
Wadau wengi wamekuwa wakiulizia kujua mshindi wa Ligi Kuu atapata nini, kwakuwa Ligi haina mdhamini mkuu.
Wadau wengi wamekuwa wakiulizia kujua mshindi wa Ligi Kuu atapata nini, kwakuwa Ligi haina mdhamini mkuu.
Mabeki wa Simba hawajui kujipanga vizuri kwenye kuzuia mipira iliyokufa (kama kona na faulo) na wamekuwa wakifanya makosa mengi kwenye mipira iliyokufa.
Nahisi Sevilla walitamani kumchukua jana lakini kikwazo kikubwa kilikuwa umri, na ndicho kitu ambacho kilimkwamisha Jana.
Na Simba ilikuwa imara kuzidi Yanga kuanzia ndani na nje ya uwanja ndiyo maana waliweza kuhimili mbio za kina Philibert Bayi.
Mimi siwezi kuwapa hongera kwa sababu hawakustahili ubingwa, kwenye watu saba wawili tu ndiyo watakubali ubingwa wa Simba”.
Kiufundi, mechi hii itakuwa ngumu sana kwa Simba na kuna asilimia kubwa leo Simba wasitangaze ubingwa kwenye ardhi ya Singida.
“Simba watatusamehe, tunahitaji alama tatu ambazo zitatuweka katika mazingira mazuri ya kuendelea kubaki daraja msimu huu”.
Mwinyi Zahera anaenda na Makambo kama nani ? Msimamizi wake yani Meneja wake ? Au anaenda na Makambo kama kiongozi wa Yanga?
Kelvin John amekiri mwenyewe kuwa hafurahishwi na mashabiki kumuita Mbappe, na angependa afahamike kama Kelvin.
Mchezaji wa Serengeti Boys (Tanzania U17), Kelvin John ameiambia Kandanda kuwa alishindwa kuendelea na masomo yake kwa sababu ya kucheza mpira.