Haiwezekani Simba kutangazia ubingwa Namfua.
“Simba watatusamehe, tunahitaji alama tatu ambazo zitatuweka katika mazingira mazuri ya kuendelea kubaki daraja msimu huu”.
“Simba watatusamehe, tunahitaji alama tatu ambazo zitatuweka katika mazingira mazuri ya kuendelea kubaki daraja msimu huu”.
Heritier makambo mshambuliaji wa Yanga sc ameendelea kuteseka mbele ya mshambuliaji wa Simba Meddie Kagere
Kwa msimu huu tuu tayari Ligi yetu imetoa zaidi ya wachezaji watatu waliokwenda katika nchi zilizoendelea kisoka na hivyo kuongeza thamani ya Ligi yetu na kufanya izidi kufwatiliwa na mawakala zaidi.
Mwinyi Zahera anaenda na Makambo kama nani ? Msimamizi wake yani Meneja wake ? Au anaenda na Makambo kama kiongozi wa Yanga?
Klabu ya soka ya Atletico Madrid kupitia katika….Stori zaidi.
Tazama hapa msimamo baada ya mchezo wa leo.
Ikumbukwe Yanga wapo katika mbio za kutaka ubingwa huku Ruvu Shooting wao wakiwa kwenye vita ya kujinasua isiteremke daraja.
Kiungo anayeondoka Manchester United Ander Herrera amesema kocha….Stori zaidi.
Kwa matokeo hayo sasa Simba sc inahitaji alama nane ili kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa msimu huu.
Kwa maana hiyo Okwi amehusika katika mabao matano katika michezo mitano ya Simba katika Ligi Kuu Bara.