Hakuna uhakika wa Zana
Licha ya kwamba kuna habari ambazo inaonyesha Zana anabaki na pia kukana kwa Uongozi kuhusu habari kuhusu Zana, hana uhakika bila shaka kubaki.
Licha ya kwamba kuna habari ambazo inaonyesha Zana anabaki na pia kukana kwa Uongozi kuhusu habari kuhusu Zana, hana uhakika bila shaka kubaki.
Simba inaendelea kufanyia kazi mapendekezo ya kocha wao mkuu, na imeshaanza usajili wa kuleta ushindani msimu ujao.
Katika hafla hiyo iliyoambatana na futari imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kiserikali na watu maarufu huku mgeni rasmi akiwa ni Spika wa Bunge la Jamuhuri La Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai.
Harakati za usajili katika klabu ya Yanga zinaendelea kwa kasi kubwa, baada ya msimu uliomalizika kuwa na kikosi hafifu Yanga wanapigana ili wawe na kikosi ambacho ni imara.
Baada ya mchezo huo kocha mkuu wa Yanga amedai kuwa mechi hiyo ilikuwa ni kama ya kirafiki kwa sababu wachezaji walikuwa wanacheza wanavyojisikia.
Kagera Sugar imeshuka daraja la Ligi kuu kwa sheria ya Head 2 Head dhidi ya Stand united. Lakini takwimu zipo tofauti
Tazama orodha ya mechi na matokeo yake ya mechi zote za Ligi kuu ambazo zimempa ubingwa kwa mara nyingine mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba SC.
Siku ya Jumanne ligi Kuu ya Tanzania bara….Stori zaidi.
Mpaka sasa hivi African Lyon ndiyo timu pekee ambayo hatutokuwa nayo kwenye ligi kuu msimu ujao.
Kati ya timu sita zilizopanda mwaka jana ni timu za KMC, Coastal Union, Allince School ndio zipo salama huku Biashara, JKT Tanzania zikipambana kusalia Ligi Kuu Bara, African Lyon wao wameshashuka daraja tayari.