‘Hatuidharau Africa Lyon’ -Juma Abdul
Yanga inaongoza ligi kuu, lakini presha ya watani zake Simba Sc ni kubwa zaidi! Wanahitaji kushinda leo kuwa salama zaidi.
Yanga inaongoza ligi kuu, lakini presha ya watani zake Simba Sc ni kubwa zaidi! Wanahitaji kushinda leo kuwa salama zaidi.
Azam FC alazimishwa sare na Mbao FC huku Singida pia akipata ushindi mwembamba.
Katika mwezi March Simba imecheza michezo mitatu na kufanikiwa kushinda michezo yote na kuvuna alama 9.
John Bocco aliukosa mchezo mmoja dhidi ya Ruvu Shooting kutokana na kuwepo kambi ya timu ya Taifa.
Tazama hapa jinsi mchuano ulivyo mkali kisha toa maoni yako. Je kiatu kitabaki Tanzania kwa wazawa au kitaenda kwa mgeni?
Tazama msimamo wote hapa baada ya michezo miwili ya katikati mwa juma.
Katika muendelezo wa Ligi Kuu Bara (TPL) Azam fc wakiwa nyumbani katika dimba la Nyamagana baada ya kuuchagua kama uwanja wao wa nyumbani.
Simba Sc atakuwa akikutana na Mbao Fc katika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro, pitia kuangalia nini kinaipa nafasi Mbao FC
Simba wapo mji kasoro bahari leo, wakitafuta ushindi muhimu wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania. Kuendelea kuonyesha makali yao?
Mpambano ni mkali kwa jinsi ligi inakoelekea, Simba kajiimarisha ndani na nje, Yanga wafanye nini?