Mataifa Afrika U17

Mataifa Afrika U17

Ninje, Amunike waongoza kliniki ya kusaka vipaji Mwanza.

Shirikisho la soka nchini ‘TFF’ limendesha kliniki ya kusaka vipaji vipya kwa vijana iliyofanyika kwenye uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza, kliniki ambayo imeendeshwa na kusimamiwa na Mkurugenzi wa ufundi, Ammy Conrad Ninje na kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania Emmanuel Amunike. Kliniki hiyo ambayo imehusisha vituo vya kulea...
Mataifa Afrika U17

CAF waridhishwa na maandalizi ya AFCON U17

Rais wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) Ahamd Ahmad amesema ameridhishwa na maandalizi ya michuano ya Afrika ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 (AFCON). Mashindano ya mpira wa miguu kwa Vijana wenye umri wa chini ya  miaka 17 AFCON yanayotarajiwa kufanyika mwaka 2019 nchini Tanzania. Ameyasema hayo...
Mataifa Afrika U17

Mwakyembe aitembelea Serengeti boys

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe, leo hii Jumamosi Januari 20, 2018 ameitembelea kambi ya timu ya taifa ya vijana walio chini ya wa miaka 17, Serengeti boys iliyopo kwenye hostel za shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF Katika ziara hiyo Mwakyembe aliweza kuona jinsi...
1 2
Page 2 of 2