Kombe la Dunia

Kombe la Dunia

Majina ya wachezaji wa timu zote 32 kombe la dunia

Shirikisho la Kandanda Ulimwenguni (FIFA) limethibitisha majina ya wachezaji 736 kutoka katika vikosi vya timu 32 ambazo zitashiriki michuano ya Kombe la Dunia inayotarajiwa kuanza Juni 14 hadi Julai 15 mwaka huu. Mtandao huu umekuletea majina ya wachezaji 23 kutoka katika kila timu ambao wamepita mchujo wa mwisho kwa ajili...
Kombe la Dunia

Mohamed Salah kukosa kombe la dunia?

Mshambuliaji wa Liverpool  na timu ya taifa ya Misri jana alipata majeraha ya bega katika mchezo wa fainali jijini Kyiev dhidi ya Real Madrid. Mchezo huo ulimalizika kwa Liverpool kupoteza kwa mabao matatu kwa moja mbele ya Real Madrid,  magoli ya Real Madrid yalifungwa na Karim Benzema na Gareth  Bale...
Kombe la Dunia

Klabu zinazoongoza kwa kutoa wachezaji wengi kombe la dunia!

Vikosi vya timu za taifa zilizofuzu kombe la dunia nchini Russia tayari vimetajwa huku baadhi ya mastar wakikosekana kwenye timu zao. Vilabu mbalimbali vimekua vikitamani kutoa wachezaji wakazitumikie timu zao za Taifa ili kuongeza thamani yao katika soka. Klabu ya Manchester City pamoja na mafanikio makubwa waliyoyapata katika ligi pia...
Kombe la Dunia

Timu ya taifa ya Ufaransa yapata pigo

Beki wa klabu ya Arsenal, Laurent Koscielny, atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa miezi 6 kufuatia kuumia mguu Beki huyo, alipata maumivu katika mguu wake wa kulia katika mchezo wa mkondo wa pili wa hatua ya nusu fainali ya UEFA Europa League dhidi ya Atretico Madrid uliopigwa nchini Hispania...
Kombe la Dunia

Vitendo vya ubaguzi vyaiponza Urusi.

Shirikisho la soka Ulimwenguni (FIFA) limeipiga faini ya zaidi shilingi Milioni 68 Shirikisho la Soka la Russia kutokana na mashabiki wa timu ya Taifa ya Russia kuonesha vitendo vya ubaguzi katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Ufaransa mwezi Machi mwaka huu. Katika mchezo huo ambao Ufaransa walishinda kwa mabao 3-1,...
Kombe la Dunia

Kikosi Bora cha muda wote cha Kombe la Dunia

Miaka 88 imepita, miaka ambayo ilituonesha nchi 8 zikibeba kombe hili la dunia kwa nyakati tofauti, nchi ambazo zilikuwa na wachezaji nyota walioshiriki kuacha alama kubwa katika michuano. Maisha ni alama, dunia itakukumbuka na kukuenzi kwa alama unazoziacha duniani wakati mwili wako ukiwa na nguvu na akili yako ikiwa na...
Kombe la Dunia

Benki ya CRDB kuwapeleka wateja wake Urusi

Benki ya CRDB imetangaza kuanza rasmi kwa kampeni ijulikanayo kama “Furahia kandanda murua nchini Urusi” #TwenzetuRussia, itakayowawezesha watumiaji wa kadi za malipo za TemboCard Visa za Benki hiyo kujishindia safari ya kwenda kuangalia mechi za michuano ya kombe la Dunia zitakazofanyika nchini Urusi, kuanzia mwezi Juni mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa...
1 2 3 4
Page 3 of 4