Wachezaji timu ya Taifa ya Russia hatiani kwa kumtwanga mtumishi wa Umma.
Wachezaji wawili wa timu ya Taifa ya Russia Aleksandr Kokorin wa Zenit St Petersburg na Pavel Mamaev wa Krasnodar wapo katika uchunguzi kufuatia tukio la kumpiga mtumishi wa uma kwenye Mgahawa wa chakula mjini Moscow. Wachezaji hao wanatuhumiwa kwa kumpiga mfanyakazi wa wizara ya Biashara Denis Pak na kumsababishia majeraha...