Miraji, Banda na kichuya miongoni wa walioachwa
Kikosi cha Stars tayari kwaajili ya michuano ya AFCON. Pitia hapa
Kikosi cha Stars tayari kwaajili ya michuano ya AFCON. Pitia hapa
Uitwaji wa Kikosi cha Stars na jinsi kikosi hicho kinavyocheza, wadau wa soka wamekuwa wakimlaumu Amunike, na wengine kusema ilibidi aondoke baada ya kufuzu tu. Je hiki kisa unakikumbuka?
Wachezaji 32 wapo kwenye Kambi huko Misri ambapo watachujwa na kubaki wachezaji 23 kwaajili ya mashindano ya AFCON.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limetangaza….Stori zaidi.
Kiungo John Obi Mikel amethibitisha kwamba ataitumikia timu….Stori zaidi.
Kiungo wa zamani wa timu ya Taifa ya….Stori zaidi.
Kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Soka….Stori zaidi.
Miraj Athuman, jezi namba 7 miongoni mwa namba maarufu duniani, ndiyo anayoivaa akiwa katika klabu yake ya Lipuli Fc.
Tovuti ya kandanda imekuandalia takwimu za kila mchezaji kuangalia timu anayotoka ipo katika nafasi ya ngapi kati ya timu ngapi, alama timu ilizonazo katika ligi husika. Adi Yusuph na John Bocco vinara katika timu zao.
Wadau wamehoji kwanini Kapombe kaitwa wakati ni majeruhi. Kandanda imepata ukweli wake.