Mlinzi huyo wa pembeni amekua katika kiwango kizuri katika michezo ya Ligi Kuu kutokana na uwezo wake mkubwa wa kukaba na kumbuliaji akitumia akili nyingi ndani ya uwanja.
Baada ya kutua tu mitaa ya Msimbazi alikutana na wachezaji wenye majina makubwa kama Issa Rashid Baba Ubaya ambaye pia kipindi hicho alikuwa ni beki tegemeo wa U20, Huku Zimbwe akiwa tegemea U17, pia msimu huo huo Simba ilimsajili na Abdi Banda, yaani KAzi Kazi tu.