Kwa matokeo hayo sasa Killi Stars inakua na alama tatu baada ya michezo miwili huku Zanzibar Heroes wakibaki na alama yao moja walioipata katika mchezo wa kwanza dhidi ya Sudan.
Licha mwalimu wa Kili Stars kufanya mabadiliko kadhaa ya kuwaingiza Eliuta Mpepo, Hassan Dilunga na Ditram Nchimbi lakini juhudi zao hazikuzaa matunda na hivyo kupelekea kupoteza alama zote tatu!