Rekodi zake ndani ya klabu hiyo ni nzuri kwani alishawahi kuifungia klabu hiyo magoli 126 katika mechi 366 alizocheza kuanzia mwaka 1996 hadi mwaka 2007.
Zama zinabadilika maendeleo ya tabia nchi na teknolojia mpya zinagusa mifumo ya maisha yetu ya kila siku inashangaza kuona Mgambo bado zana yake ya ulinzi inabaki kuwa KIRUNGU.
Tovuti hii inakuletea mkutano wa kwanza wa kocha wa muda wa Mashetani Wekundi, Manchester United Ole Gunnar na waandishi wa habari uliofanyika jana tarehe 21-12-2018 kufuatia upya wake katika klabu na mechi dhidi ya Cardiff city jumamosi hii.