Maandalizi ya Afcon: Stars kukipiga na Misri
Baada ya timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” kufuzu michuano ya Mataifa ya Africa tayari TFF imeshaanza maandalizi ili tuwe na ushiriki mzuri katika michuano hiyo.
Baada ya timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” kufuzu michuano ya Mataifa ya Africa tayari TFF imeshaanza maandalizi ili tuwe na ushiriki mzuri katika michuano hiyo.
Kwa msimu huu pekee John Lema amecheza zaidi ya michezo 12 akifunga mabao mawili licha ya nafasi ya kiungo mshambuliaji. #NaniAtavaaJeziYaBlue
#NaniAtavaaJeziYaBlue? itakuwa inadokeza kwa ufupi tu nani ambaye anaweza kujumuishwa katika kikosi cha Stars kuelekea AFCON. Huu ni mtazamo tu.
Shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF mwaka huu ni kama mwaka wao kutokana na ratiba ya CAF na FIFA kuwabana haswa.
Ushindi wa Timu ya soka ya Taifa ya….Stori zaidi.
Amunike aliulizwa anamaoni gani kwa uwezekano wa Tanzania kupangwa na timu yake ya taifa ya Nigeria.
March 24 kua ni siku kuu ya furaha katika maisha yangu ya soka.
Tumefikiria kujenga Taifa Stars imara ya kutuwezesha kufuzu tena ?.
Kipi kinatakiwa kufanyika kabla ya kwenda Misri kwaajili ya michuano hii…
Pata ladha ya ushindi katika mfumo wa Ushairi kutoka kwa Mkini na Alpha wa pale Dodoma. Hakika hii ni kibabe!