Mabingwa AfrikaKocha Al-Ahly aukataa uwanja wa Fainali!Mselemu Kandanda10/05/2022Miongoni mwa timu zinazoonekana kuwa katika nafasi nzuri ya kutinga fainali ni Wydad Casablanca na Al-Ahly.
Ligi KuuMayele alistahili kupiga penati.Mselemu Kandanda10/05/2022Ni kwa mara ya kwanza katika msimu huu Yanga imecheza michezo mitatu mfululizo bila kutoka na ushindi na bila kufunga bao lolote
Ligi KuuKaze au Mayele alaumiwe kwa sare hizi mfululizo?Tigana Lukinja10/05/2022Unadhani kuna mpango wa pamoja toka kwa benchi la ufundi na wachezaji labda wakiwemo na viongozi wa kumwandaa na kumtengenezea Mayele.
Ligi KuuYanga yashindwa kuvunja gereza, Mayele aweka rekodi.Mselemu Kandanda09/05/2022Ni kwa mara ya kwanza Yanga wanacheza michezo mitatu mfululizo bila ushindi
TetesiSaid Ndemla awa lulu, wababe wanataka kumrudisha mjini.Mselemu Kandanda09/05/2022Said Ndemla alijiunga na Mtibwa msimu huu akitokea Simba Sc baada ya aliyekua kocha wa wa Simba wakati huo Didier Gomes kumkataa
Ligi KuuKMC kambini kujiandaa na kina Ndemla.Mselemu Kandanda09/05/2022“Mchezo uliopita tulipoteza dhidi ya Azam tukiwa ugenini, lakini hiyo bado haituvunji moyo wala kututoa kwenye morali zaidi.
Ligi KuuPablo anastahili lawama za John BoccoTigana Lukinja09/05/2022John Bocco alifunga goli lake la kwanza katika mchezo dhidi ya Ruvu na kwenda kuungana na yale 7
Ligi KuuBeki Yanga apandisha timu Ligi Kuu!Mselemu Kandanda08/05/2022wamesheheni wachezaji wakubwa na wenye majina ambao wamepita vilabu vikubwa nchini kama Simba, Yanga, Azam, Mbeya city na KMC, lakini pia ina nyota wa kigeni kutoka mataifa mbalimbali.
Ligi KuuSimba dhidi ya Ruvu Na vita ya nafasi katika msimamoTigana Lukinja08/05/2022Kwa upande wa wekundu wa Msimbazi Simba Sports Club kuna taarifa za chini chini kwamba kuna mahusiano 'dhaifu' kati ya nyota
EPLTottenham na maamuzi ya ubingwa kwa Liverpool!Tigana Lukinja07/05/2022Sababu kubwa ya msingi kwa Spurs kuonekana ni' mfalme' katika mechi 8 zilizobaki kwa pande zote mbili ni ubora wao miongoni mwa timu bora