Yanga wanamvumilia Zahera kwa sababu ya Umasikini tu
Yanga imefanikiwa sana msimu huu. Mafanikio ambayo hawaamini mpaka sasa kuwa wameyafikia mpaka muda huu.
Yanga imefanikiwa sana msimu huu. Mafanikio ambayo hawaamini mpaka sasa kuwa wameyafikia mpaka muda huu.
Hakuna kinachofanyika baada ya kuongelewa kwa maoni chanya kama hayo. Yani huu utamaduni tumejijengea na hatuna hofu nao kabisa.
Na kinachouma zaidi hawa wanaopenda mpira kupitiliza ni watu masikini. Hawana uwezo mkubwa wa kifedha kwenye mfuko wao.
Serengeti Boys ilitolewa kwenye michuano ya vijana waliochini ya umri wa miaka 17 ya Afrika, hivo kama mwenyeji aliaga rasmi kwenye michuano hii.
Leo hii ukimsifia Kelvin John, au Edmund John unatakiwa usisahau kumsifia Jamal Malinzi katika makuzi yao.
Makundi ya AFCON 2019 yameshapangwa na Tanzania ikitupwa kundi C lenye Senegali, Algeria na Kenya
Simba inahitaji kupata sare ya magoli au ushindi wa aina yoyote kwenye mechi ya marudiano .
Simba inaondoka leo hii kuelekea Lubumbashi nchini Congo….Stori zaidi.
John Bocco alikosa penati muhimu wakati Simba ilipoikaribisha TP Mazembe jijini Dar es Salaam.
Scott McTomminay ambaye alifanikiwa kucheza mipira yote ya juu katika mchezo wa jana tena kwa utulivu mkubwa.